Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Bachelor of Science in Textile Design and Technology

Chuo: University Of Dar Es Salaam (UDSM)

Level

Degree

Muda

4 years

Mkoa

Dar es Salaam

Mahitaji ya Kozi

Two passes of at least ‘D’ grade at A-Level in any Science, Fine Art, Textile and Garment Construction, Geography, Economics English Language subjects. Applicants without a Subsidiary grade in Mathematics at A-level must have at least “C” grade at CSEE in Mathematics.

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now