Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Bachelor of Commerce in Accounting

Chuo: University Of Dar Es Salaam (UDSM)

Level

Degree

Muda

3 years

Mkoa

Dar es Salaam

Mahitaji ya Kozi

Two principal passes in the following subjects: History, Geography, Kiswahili, English Language, French, Arabic, Fine Arts, Economics, Commerce, Accountancy, Physics, Chemistry, Biology, Advanced Mathematics, Agriculture, Computer Science or Nutrition. If one of the principals is not Advanced Mathematics an applicant MUST HAVE at least a subsidiary pass in Advanced Mathematics or a minimum of “C” grade in Basic Mathematics at O-Level.

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now