Bachelor of Science in Civil Engineering
Chuo: University Of Dar Es Salaam (UDSM)
Level
Degree
Muda
4 years
Mkoa
Dar es Salaam
Mahitaji ya Kozi
Two principal passes in Advanced Mathematics and Physics. Those without at least a Subsidiary in Chemistry must have a Credit pass in Chemistry at O-Level.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.