Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Bachelor of Science in Environmental Engineering

Chuo: University Of Dodoma (UDOM)

Level

Degree

Muda

4 years

Mkoa

Dodoma

Mahitaji ya Kozi

Two principal passes at “D” grade in Physics and one from the following subjects: Advanced Mathematics, Chemistry, Biology, Computer Science or Geography at A level. Those without Mathematics subject at A-level must have subsidiary pass for Basic Applied Mathematics at A-Level or a minimum of “C” grade Mathematics

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now