Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Diploma in Hospitality Management

Chuo: National College of Tourism - Arusha

Level

Degree

Muda

2 years

Ada

1200000.00 Tsh/ mwaka

Mkoa

Arusha

Mahitaji ya Kozi

Holder of Basic Technician Certificate (NTA Level 4) in Hospitality Management OR Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) with one Principal Pass Plus one Subsidiary Pass

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now