Basic Technician Certificate in Food and Beverage Operations
Chuo: National College of Tourism - Bustani
Level
Degree
Muda
1 years
Ada
700000.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Dar es Salaam
Mahitaji ya Kozi
Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least four (4) passes in non-religious subjects including a pass in English OR Holders certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with minimum passes in two (2) non-religious subject and NVA Level 3 in related field. An applicant with at least three (3) years working experience is an added advantage.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.