Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Diploma in Hospitality Management

Chuo: National College of Tourism - Bustani

Level

Degree

Muda

2 years

Ada

1480000.00 Tsh/ mwaka

Mkoa

Dar es Salaam

Mahitaji ya Kozi

Holders of Basic Technician Certificate (NTA Level 4) in Hospitality/hotel Management, Food and Beverage Services, Pastry and Bakery, Food Production, Cookery, Front Office Operations and Rooms Division and/or A Holder of Advanced Certificate of Secondary School with one Principal Pass and one Subsidiary in Relevant Subjects.

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now