Diploma in Automobile Engineering and Locomotive Technology
Chuo: National Institute of Transport (NIT)
Level
Degree
Muda
3 years
Ada
1000000.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Kigoma
Mahitaji ya Kozi
Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least four (4) passes in non-religious subjects including Mathematics, Physics/Engineering Sciences, Chemistry and English Language OR National Vocational Award (NVA) Level III or Trade Test Grade I with Certificate of Secondary Education Examination (CSEE)
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.