Diploma in Tourism and Tourguiding
Chuo: Community Based Conservation Training Centre - Likuyu Sekanaganga
Level
Degree
Muda
3 years
Ada
1020000.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Ruvuma
Mahitaji ya Kozi
Holder of Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) with one Principal Pass Plus one Subsidiary Pass in Principal Subjects or Possession of National Technical Award (NTA) 4 in Related Courses Such as Tourism or Travel and Tourism or Wildlife Management or Heritage Management or Hotel Management or Tour Guiding Courses from Institutions Accredited By National Council for Technical and Vocational Education and Training (NACTVET).
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.