Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Diploma in Mechatronics Engineering

Chuo: Don Bosco Technical Training College

Level

Degree

Muda

3 years

Ada

1200000.00 Tsh/ mwaka

Mkoa

Dodoma

Mahitaji ya Kozi

Holders of Certificate of Secondary Education Examination (CSEE) with at least four (4) passes in non-religious subjects, two must be among the following subjects: Physics/Engineering Science, Basic Mathematics, Chemistry, Biology or English Language or Holders of National Vocational Award (nva) Level III or Trade Test Certificate Grade I in Mechatronics Engineering with Pass in Certificate of Secondary Education Examination (CSEE).

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now