Diploma in Aquaculture Technology
Chuo: Feta - Mbegani Campus
Level
Degree
Muda
2 years
Ada
1146400.00 Tsh/ mwaka
Mkoa
Pwani
Mahitaji ya Kozi
Holders of Basic Technician Certificate (NTA Level 4) in Aquaculture Technology, Agriculture, Fish Processing, Fisheries Science and Technology, Food Science, Animal Health and Environmental Coastal Resources Management OR Advanced Certificate of Secondary Education Examination (ACSEE) with at least one Principal pass and one Subsidiary passes from science subjects.
Nini maana ya "Principal Pass"?
Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.
Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.