Vyuo Tanzania

Tafuta chuo, kozi, na taarifa kwa urahisi.

Diploma in Fish Processing, Quality Assurance and Marketing

Chuo: Feta - Mbegani Campus

Level

Degree

Muda

2 years

Ada

1146400.00 Tsh/ mwaka

Mkoa

Pwani

Mahitaji ya Kozi

Holders of Basic Technician Certificate (NTA Level 4) in Aquaculture, Agriculture, Animal Health production, Fish Processing Quality Assurance and Marketing, Environmental Science and Technology, Fisheries Science and Technology OR Advanced Secondary Education Examination with one Principal pass and one Subsidiary pass in science subjects including Agricultural Science, Physics, Biology and Chemistry.

Nini maana ya "Principal Pass"?

Kwa mfumo wa TCU, "Principal Pass" inamaanisha kupata alama kuanzia 'A' mpaka 'E' kwenye somo husika la Kidato cha Sita (A-Level). Alama ya 'S' (Subsidiary) na 'F' hazihesabiki kama Principal Pass.

Points za TCU hutolewa hivi: A=5, B=4, C=3, D=2, E=1. Ili kujiunga na masomo ya Shahada (Degree), mwanafunzi anapaswa kupata jumla ya points 4.0 au zaidi kutoka kwenye Principal Passes zake mbili kuu zinazohitajika.

Apply Now